Tuesday, February 20, 2024

CHAKULA CHA UBONGO (OMEGA 3, CHIA, MBEGU ZA MABOGA, KOROSHO NA BRUKOLI).

CHAKULA CHA UBUNGO

OMEGA 3 ,

inapotumiwa husaidia yafuatayo kwenye ubongo  ,huzuia seli za ubongo kuzeeka mapema, husaidia mtililiko mzuri wa damu  kwenye  ubongo na nerve  za fahamu,  husaidia kituo cha kumbukumbu  ( memori) kuwa bora, husaidia  wiano wa umeme kwenye ubongo, huzuia utahira, kwa watoto husaidia  kukuza ufahamu, na mtoto  anakuwa na ubunifu, kwa watu wazima huwasaidia  kukumbuka kirahisi nk . Omega3 husambaza uvimbe unaosababishwa na ongezeko la omega 6 ambayo hupatikana kwenye mafuta ya alizeti  ambayo ni hatari sana ukitokea kwenye  moyo, ini,  kizazi, mapafu na ubongo  .endelea  kufuatilia  mada  hii  na pia changia  maoni  na sambaza kwa unaowapenda

 MBEGU ZA MABOGA.

Mmea huu wa boga ni mzuri na unafaa sana kwa  chakula cha binadamu  kuanzia majani, maua tunda  na MBEGU,  katika mimea huu ulio jaa virutubisho  basi  mbegu ni sawa na dhahabu  katikati ya madini mengine.  Ukiacha mafuta ya samaki MBEGU za maboga zinashika nafasi ya pili kwa kutoa  omega 3 bora kabisa,  pia  MBEGU za maboga  zimejaa  antixiadant.

Faida zingine za MBEGU za maboga ni kuboresha  mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanaume  ,iwapo mwanao wa kiume na wa kike  amefikia  umri wa kupevuka basi  MBEGU za maboga  zinahitajika sana, MBEGU za maboga  hutoa zink bora sana  kwa tibaya mifupa ya watoto  na wazee, MBEGU za maboga  husaidia ongezeko la MBEGU za kiume  na ubora wa mbegu za kiume, husaidia kuongeza  homone maarufu ya maziwa kwa akina mama wanyonyeshao iitwayo prolacitin na gonadotropin, mbegu za maboga hutibu magonjwa ya upungufu wa seli nyeupe za damu,hivyo kama unahitaji kuimarisha uwezo wa kiakili wa mwanao au wewe tumia mbegu za maboga,  na safi na salama kwa afya ya jamii  .🤴👉🧠tumia.

 OMEGA 3NA CHIA 

Sayansi ya lishe  imegundua  mmea huu wenye asili ya Amerika ya Kusini unafaa sana kwa afya ya binadamu  na hutumika kwa chakula na dawa, kabla ya kujua kuhusu omega 3 basi ona faida zingine zinazopatikana  ndani yake. Kuna antixiadant zenye  nguvu kubwa  ,antixiadant ni vimengenya maalum  vinavyoshughika na kuondoa kemikali na sumu ndani ya mwili wa binadamu na kwenye ngozi,  huboresha ngozi, huupatia mwili nguvu kuliko dawa yeyote  kwani nguvu ya chia hudumu kwa saa 72,

huondoa mafuta kwenye  ini, moyo, kitambi na mishipa ya damu, hurekebisha sukari  na kutibu kongosho, hutibu  mifupa kwani ina madini ya zink, calcium, nickel, copper, silicon, iron  na vitamini A, F  B zote  , K na D³ husaidia seli za mwili kujilinda dhidi ya adui  na  nk.matumizi yake inategemeana  na wewe  unataka kupambana na ugonjwa gani  ,matumizi yapo tofauti  Usikose nyumbani mwako ni mlinzi  bora moyo na mwili wako.

CHIA NA UBONGO

kama tulivyo ona omega 3 ni enzaymes muhimu sana kwa afya ya ubongo basi CHIA  SEEDS  inatoa  omega 3 ya kiwango cha tatu, hivyo kama unahitaji afya nzuri ya ubongo au akili kwa famlia yako  basi  watumie chia ,kwa matumizi bora  chukua chia vijiko  2 vya  chakula  maji nusu lita tikiti maji kipande  ,limao moja  asali vijiko 3 brendi  pamoja  kisha kunywa vikombe 2vya chai kabla ya kula, pia unaweza kuandaa pamoja na chakula kingine  kama uji, wali nk.

 OMEGA 3 na BRUKOLI  .

mmea huu ukiutazama unafanana na ubongo !. Mmea huu asili yake ni Ulaya Mashariki  hutumika kama mboga  ila kwa nchi za Asia na Amerika Kusini hutumika katika tiba, .tofauti na kuwa na omega 3 humsaidia  kutibu saratani ya ubongo, husaidia sell za ubongo  kuwa imara na kuumbika sell mpya,  husaidia ugwa mgongo, husaidia kuumbika kwa gegedu za mifupa [ cartilage] husaidia na maambukizi yote ya kizazi  hasa kuimarisha kizazi kwa waliofanyiwa  operesheni  ,na kwa wanawake waliotoa mimba sana na kushindwa kupata watoto  ni nzuri sana, kwa wanaume wenye udhaifu wa korodani  ni nzuri sana,  ikiwa utaitumia kwa saradi au juisi  basi ni mboga muhimu kuongeza omega  3

 OMEGA 3 NA KOROSHO

pamoja na faida  lukuki za korosho  basi  ina omega 3 nzuri  sana  na hasa kwa watu wenye group  A ,AB  NA B la damu, husaidia mfumo wa moyo pia,, japo  sio nzuri kwa group 0 .

Prepared by Dr. Elias M. Kinambolo

Emak Natural Remedies Clinic

Runzewe Tanzania

Tel: 0699229115


No comments:

Post a Comment