-
Kimwili – kushindwa kutekeleza majukumu
-
Kiroho – huongozwa kutegemea mawazo ya
watu
-
Mahusiano – kuachwa, kutekelezwa,
kutengwa.
(i)
Magonjwa ya kurithi
(ii)
Magonjwa ya kuambukiza
(iii)
Magonjwa yatokanayo na ajali
(iv)
Magonjwa ya dutu za nje ya mwili kama
vile;- sumu asili, mionzi n.k.
(v)
Magonjwa yatokanayo na tiba au kinga
maradhi.
(vi)
Magonjwa ya nafisi na roho
·
Nami katika kuyaeleza nimeyagawanya
katika makundi yafuatayo;-
a. Magonjwa
ya kipepo
b. Magonjwa
ya kuambukiza
c. Magonjwa
ya siku za mwisho
d. Magonjwa
ya mitindo ya maisha
MAGONJWA YA MITINDO YA MAISHA
·
Binadamu ameumbwa kwa namna ya ajabu
sana kama ambavyo vitabu vya Mungu na sayansi imebainisha.
·
Hivyo binadamu akiishi kinyume na alivyoumbwa
kupelekea kuathirika na kuugua.
·
Ikitokea ukala na kunywa tofauti na
ulivyoumbwa basi ni rahisi kuugua na ukikosa kula na kunywa kama DNA zako
zilivyopangiliwa na viumbe wengine basi tegemea kuugua.
·
Kwa hiyo magonjwa ya mtindo wa maisha
hutegemea mahusiano yako katika kula kunywa kuona, kusikia na kuhusiana na
viumbe wengine.
·
Mahusiano hasi na viumbe wengine
hupelekea kiumbe hai huyu kuugua kama ilivyo mahusiano chanya(+) na viumbe
wengine huchangia kuondoa/kuzuia maladhi kwa binadamu.
·
Mfano kuna baadhi wamepatwa na maladhi
kama vile magonjwa ya moyo (HEART DISEASE) kwa sababu tu ameishi na Mke/Mme/Ndg/Rafiki
ni mwenye athari HASI (-). Endapo wasingeishi pamoja au wakitengana basi ndugu
huyu atakuwa na afya nzuri.
·
Sasa kupitia makundi ya damu haya kama
utakavyoona itakusaidia kuepuka baadhi ya maladhi maana utajua vyakula vya kuepuka,
watu wa kuepukana nao na namna ya kula na kuishi nao. Mfano;- ikitokea ndoa
imefungwa mwanaume ana kundi lolote la damu lenye +RH na mwanamke ana kundi
lolote la damu lenye –RH basi hawana uwezekano wa kupata mtoto na kama
watafanikiwa kutungisha mimba, basi inaweza kuharibika wakati wowote, hata kama
atazaliwa yuko hatarini kupoteza maisha kabla ya kufikisha umri wa miaka
mitatu.
·
Ikitokea akakua bado upo uwezekano wa
wazazi kutopata mtoto mwingine.
·
Ndiyo maana ikiwa mmeoana watu wenye
sifa hizo hapo juu, basi ni vema kwenda kwa dakitari wa magonjwa husika kupata
ushauri ili muda ukifika a[ate chanya A.NT D.
·
Pili ikitokea wamefanya mahusiano na kuingia
kwenye ndoa watu wenye makundi ya damu yasiyoendana kitabia basi ni rahisi hawa
watu kuishi kwa malumbano, ambapo matokeo yake yanaweza kuchangia mmoja kupata
na magonjwa kama vile;-
-
Magonjwa ya moyo
-
Kujinyonga
-
Magonjwa ya mifupa
-
Magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini.
-
Inapotokea watu waliofunga ndoa na
kutofautiana makundi ya damu hii haisababishi kukosa watoto.
-
Ila Ikitokea wanandoa hao wametofautiana
(RHESUS, FACTOR) hapa upo uwezekano wa kukosa watoto kama nitakavyofafanua hapa
chini.
-
Mfano: Mtu anapokuwa na kundi la damu
liitwalo (ANEGATIVE basi huitwa RHESUS factor negative.
-
Kama ikitokea mama ana kundi lolote la
damu negative na baba akawa na kundi lolote la damu positive basi wawili hawa
lazima watapata changamoto ya kupata watoto.
-
Kwani mimba inapotungwa wakati wa
mchakato wa makuzi tumboni kinga ya mama hushambulia kijusi cha baba kama adui.
-
Ikitokea mimba hiyo ikakua basi
haitaendelea vizuri itapata changamoto kadhaa zitakazopelekea mimba kuharibika
au motto anapozaliwa anaishi chini ya miezi mitatu maana anaweza kufariki kabla
ya kuvukisha umri wa miezi mitatu.
-
Kwani pia damu ya baba kama ni chanya na
mama ni hasi basi inapoingia kwa mama husababisha mama atengeneze Antiboard
dhidi ya mtoto.
MAKUNDI YA DAMU NA TABIA - KUNDI ‘A’
TABIA – MAZURI YAO
Hupenda
ukamilifu wa mambo wa hali ya juu sana.
Ofisini
na nyumbani huweka kazi, vyombo nk kwa mpangilio.
-
Hutumia vitu kwa bajeti
-
Ni waaminifu sana
-
Kwa asili ni wapole
-
Ni kundi la watu nadhiru.
-
Ni wapatanishi wazuri.
-
Ni watulivu katikati ya migogoro
-
Hutumia akili sana kufanya mambo.
-
Ni washauri wazuri.
-
Wako tayari kubeba majukumu.
TABIA – MADHAIFU YAO
-
No wasumbufu sana
-
Wana hisia kali hata kwa vitu vidogo
-
Ni watu wa gharama sana hasa wadada.
-
Hawatoi msaada wa mawazo, kama
hajashirikishwa
-
Ni wakimya kupita kiasi.
KIJAMII
-
Ni wa kuaminika na kutegemewa (vipawa
vizuri)
-
Anajali toka moyoni (Hawana usanii)
-
Hawapendi ugomvi, misuguano na vurugu
-
Hawapendi sherehe pia hawapendi kukaa
sehemu zenye makelele hasa ya watoto.
KAZINI
-
Hutekeleza majukumu kwa usahihi na
ufanisi
-
Wanajali hata vitu vidogo sana hivyo
hujikuta wanapatwa na musongo sana
-
Ni ngumu sana kuwaelewa maana mambo yao
hayako wazi sana maana ni wasiri.
-
Akiwa maafisa utumishi, taasisi au idara
hufanya vizuri sana
-
Ni viongozi wazuri sana
-
Akizuiliwa kutimiza malengo hukaa kimya
atafute njia mbadala kutimiza
MAHUSIANO NA MAPENZI
-
Ni wagumu kufunguka (Hawezi kuonyesha
hisia haraka). Hivyo sio rahisi kuonyesha ukubali.
-
Hawako tayari kutoa historia yake ya
mahusiano yaliyopita na yajayo.
-
Hakushirikishi mambo yake anataka uone
tu matokeo
-
Wanapenda kujificha, hata usiku hupenda
kukaa gizani. (Kwenye starehe hupenda faragha)
-
Hawapendi misuguano hivyo ni rahisi
kuachika na kuacha
-
Mahusiano kati yao na group O ni ngumu
kuishi kama mke na mme.
-
Sio wazuri kugawanya upendo (Hawana
mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya mtu mmoja)
-
Huumia sana pale anapojikuta ameingia
kwenye mahusano na mtu wa pili wakati ana ndoa
-
Wanaume hujari mwonekano wa usafi
(Huvutiwa sana na wanawake wasafi)
ZIADA YA KITABIA
-
Ni watu wabunifu sana wenye ujuzi
(wanasayansi wengi hutoka kundi hili)
-
Wanalewa kilahisi sana na akilewa ni
msumbufu sana.
-
Hawawezi kuingilia mazungumuzo kama
hajahusishwa maana ni wakimya
-
Wana huruma sana na hupenda kusaidia
-
Wadada wa kundi hili wana aibu sana
hivyo sio wachunaji kwenye mahusiano.
GROUP ‘A’ - KIAFYA
-
Hawa ni VEGETARIAN hivyo hujitaji mlo wa
45% uwe ni mbogamboga na matunda hasa nanasi na Zabibu, limao, nyanya, pasioni
na jamii zake.
-
Hawatakiwi kula nyama nyekundu kwani
ndilo kundi pekee linalizalisha asidi kidogo sana.
VYAKULA
WASIFOHITAJIKA KUVITUMIA
-
Nyama nyekundu, hasa mweupe, sembe
ngano, maziwa, vyakula vya mafuta, protini nyingi n.k.
-
Hawatakiwi kutumia kileo cha aina
yoyote.
ZIADA
KIAFYA
-
Wakitumia maembe na mapapai huwa na
makamasi mengi hasa asubuhi.
-
Wanawake wa kundi hili hupata hedhi mara
mbili hasa awanapotumia wanga sana.
MAGONJWA
YANAYOWAKABILI
-
Rehemu mbaya (CHOLESTEROl)
-
Shohamu kwenye ini (BLOOD FAT NA LIVER FAT)
-
Shinikizo la damu na magonjwa ya moyo
-
Msongo wa mawazo
-
Saratani ya kizazi na utumbo
-
Magonjwa ya njia ya mkojo
-
Malaria maana ni maadui wa mbu
-
Kuishiwa damu (ANEMIA) n.k.
MAKUNDI
YA DAMU - TABIA GROUP ‘B’
-
Ni kundi lenye tabia ngumu na ya kuasi
sio rahisi kuwatawala (control)
-
Wana kazi na maono makubwa ila hawana
ngumu ya kusimamia maono yao.
MAZURI
KITABIA
-
Wana kasi ya utendaji
-
Ana uwezo wa kuishi na kundi lolote
isipokuwa B mwenzake
-
Wanapenda raha na wana hisia nzito
-
Huiburudisha jamii na familia
-
Anaweza kumudu mazingira yeyote.
-
Hawatunzi kisasi muda mrefu.
MADHAIFU
KITABIA
-
Wanakwepa majukumu sana kwa vitendo ila
kwa maneno ni watendaji
-
Ni wasumbufu sana kwenye ahadi pia hawalipi
madeni.
-
Wana hasira za haraka na ghafla
-
Wachonganishi
-
Ni ngumu kushirikiana nao.
-
Ni wasengenyaji kwa asili.
-
Ni wakali kwa watu wanaowaona wako chini
yao.
KIJAMII
-
Hawapendi kushirikiana na wengine
(wabinafsi)
-
Hawana msimamo hubadilikabadilika
-
Hawatakiwi kuwa viongozi ila watendaji
-
Anafaa sana kuwa watangazaji / mama
maana hupenda kuonekana.
-
Jamii huwaamini sana wanaweza kujieleza
MAHUSIANO
NA MAPENZI
-
Huwafurahisha wapenzi wao ila
panahitajika uvumilivu maana wana hasira za haraka
-
Hukwepa majukumu ya kutunza na kutoa
huduma kwa mwezi
-
Ni wakali, wakatili
-
Anachosema chaweza kisiwe kiicho moyoni
(ni wadanganyifu)
-
Hawatulii na mtu mmoja katika kutoka
kimahusiano (makahaba wengi hutoka kundi hili)
-
Sio wapenzi wazuri sana maana hupenda k+ualiti
na hutumia usaliti ili kuwaumiza wapenzi wao
-
Kupenda kutoa na kupokea rushwa ya ngono
nk.
KIAFYA
-
Wana kinga imara ya mwili hivyo hukabili
magonjwa mengi, hata HIV hawatesi sana kama makundi mengine.
VYAKULA
VINAVYOHITAJIKA KWAO
-
Maziwa, Siagi, Asali, Ngano, Soya,
Samaki, Wali kwa ujumla ndilo kundi lililo na uwezo wa kutumia aina nyingi za
vyakula.
VYAKULA
VISIVYOHITAJIKA KWAO
-
Karanga, korosho, nyanya, pombe n.k.
MAGONJWA
YANAYOWASHAMBULIA
-
Kuwa machizi, uvimbe wa fizi utumbo kufunga,
saratani ya koo, kisukari aina ya pili Maralia uharibu ubongo, kibofu cha mkojo
na kutoa harufu mdomoni.
ZIADA
KWAO
-
Hawasumbuliwi na kipindupindu
-
Hawana msamaha wa kweli
-
Wanapokusaliti hupata Amani sana.
MAKUNDI
YA DAMU KUNDI A-B
-
Hili ni kundi la mwisho na
lililovumbuliwa hivi karibuni
-
Hili pia kundi lenye haiba mchanganyiko
kama vile uoga, aibu, kuongozwa na wengine mitoko ya kuiga kwani hawako wazi
kabisa.
MAZURI
KITABIA
-
Ni rahisi kuwa marafiki
-
Wanachokuliana na mazingira kirahisi
-
Kila mmoja humtaka kuwa nae
-
Wanafikiri sana na wana akili nyingi
-
Ni wazuri sana kwa mambo hasa ya fedha
maana akishika eno la fedha hufanya vizuri.
MADHAIFU
YAO KITABIA
-
Ni wagumu kufanya maamuzi
-
Wanasahau sana
-
Wana hisia za kuyumba
-
Wapinzani, wabishi na wakosoaji
-
Wana dharau sana
-
Hufanya mambo taratibu
-
Hutoa wachoyo wengi.
KIJAMII
-
Hutumia akili kuishawishi jamii na
anaminika sana kwa hoja zake
-
Ni mzuri kujieleza na kuonyesha udhaifu
wa mambo ya wengine
-
Hutumia udhaifu wa wengine kunufaika
-
Ndilo kundi hutoa wanasiasa wazuri
-
Sio matajiri sana maana ni wachumi na
huogopa hasara.
SIFA
PEKEE
-
Ni wachache sana duniani
-
Hawatoi damu kwa kundi lolot isipokuwa
wao
-
Wana kiburi na dharau (maana hujiamini
sana)
KAZINI
-
Huwafurahisha wengine
-
Huwaangusha wengine kirahisi maani ni
wabinafsi
-
Idara ya fedha ikiongozwa na kundi hili
familia au taasisi haiwezi kupata hasara kirahisi.
MAHUSIANO
-
Huwafurahisha wenzi/wapenzi wao
-
Hupenda kukosoa pale anapoona makosa
-
Hupenda kupewa wao kwanza (wanapenda ofa
ziwaelekee wao tu)
-
Kwenye kujamiana hupenda kuhudumiwa tu
-
Mabinti wa kundi hili huogopwa sana na
wanaume maana wanajisimamia.
-
Akitoa ahadi kwenye mahudiano sio mzuri
kuitimiza, maana wanasahau sana maana wana vitu vingi kichwani.
KIAFYA
-
Hushambuliwa sana na KIHAUSI, magonjwa
karibia yote ya moyo, dengue, mafuta kujaa kwenye mishipa ya dmau na wazee
wengi wa kudni hili hupoteza uwezo wa kufikiri (Tahira)
VYAKULA
-
Chakula muhimu kwao ni vile
vinavyohitajika katika makundi ya A na B pia huepuka vyakula vya kundi O.
GROUP
(O) NA TABIA ZAKE
Ni Kundi lenye sifa za
kipekee pia kwa mfano huongezea makundi yote damu.
-
Hupenda maendeleo
-
Ni marafiki wazuri
-
Hutoa msamaha wa kweli
-
Ni wadadisi sana
-
Ni watoaji sana
-
Wana mtazamo chanya
-
Hutisha watu pale anapokuwa kiongozi.
MADHAIFU
YAO KITABIA
-
Hupenda Fujo
-
Hupenda sifa
-
Kwao ni rahisi kukwepa majukumu
-
Ni ving’ang;anizi ili atimize atakacho
-
Wana kiburi liwalo na liwe
-
Wapenda fujo na ni wababe
-
Wana tabia za kijeshi
MAISHA
KIJAMII
-
Ni marafiki wazuri
-
Ni wawazi sana
-
Ni wazenguaji maana hupenda kuudhi
-
Huanzisha mgomo na fujo, kuita
maandamano
-
Hujitolea kuumia ili wengine wanufaike
-
Hutaka asikilizwe yeye tu
SIFA
ZA PEKEE
-
Hupenda michezo sana
-
Anapokula nyama hujisikia furaha sana
-
Huzarisha aside nyingi sana
MAHUSIANI YA MAPENZI
-
Huonyesha mapenzi wazi na kutaka kuwa
wazi
-
Hutaka apendwe kama anavyopenda
-
Wanaume wa kundi hili hupenda wanawake
wenye makario makubwa
-
Hutoa hofu sana kwa wapenzi wao wapya
-
Ni wahongaji sana
-
Hunogewa na wapenzi wapya
-
Hutelekeza familia kwa ajili ya wapenzi
wapya
KIAFYA
-
Wana kinga ya kutosha dhidi ya
kipindupindu.
-
Hawana kinga dhidi ya TB na Malaria
MAGONJWA YANAYO WASUMBUA
-
Saratani ya kongosho, utumbo, kizazi
VYAKULA
VINAVYOTAKIWA KWAO
-
Vyakula vya protini, hasa wanaume,
mbogamboga majani, maji mengi, papai, tikitimaji, ndizi, nanasi n.k.
VYAKULA
VISIVYOTAKIWA KULA
-
Wanga, maembe mabichi, maharage ya
njano, ukwaju, machungwa, juisi mulalo, wali sana na mahindi meupe n.k. Wanawake
wa kundi hili huathirika Zaidi na vyakula hivyo.
MAMBO YA MUHIMU KUJUA PIA.
Tafiti
za kisayansi zinaonesha kuwa:-
-
Kundi AB ndilo kundi lenye uwezo mkubwa
wa akili likifuatiwa na kundi A, kisha kundi O NA MWISHO KUNDI b.
-
Hii ilifanyiwa utafiti na chuo kikuu cha
JERASH – JORDAN Mwaka 2014.
-
Kila kundi la damu lina athari hasi kwa
jingine na athari chanya hivyo yote ni bora.
-
Mimea na viumbe vitumikavyo kwa chakula
vina DNA, zinazoendana au kuelewana na DNA za binadamu, inapotokea kula vyakula
vyenye DNA kinzani basi inabidi yatokee mabadiliko ya KITABIA, KIAFYA NA
KIROHO.
-
Hivyo maandiko ya Mwenyezi Mungu
yanapozuia kutumia viumbe Fulani huwa ina maana kubwa sana kimwili, kiroho na
kiakili,
-
Pamoja na madhaifu ya sayansi bado
sayansi imekuwa mkono wa Mwenyezi Mungu kutoa Elimu hivyo tunakubali japo
tahadhari ni muhimu.
-
Kama ambavyo sayansi imesaidia kuboresha
maisha na kutoa elimu bora ili binadamu aishi kwa furaha pia sayansi imetumika
kuharibu kwa sehemu kubwa ya binadamu.
-
Msisitizo tunahitaji sana sayansi na
tunamhitaji sana Mungu.
-
Mfano sayansi imetupa vifaa tiba,
uvumbuzi wa magonjwa nk. Lakini sayansi hiyo hiyo inatengeneza kemikali za kuua
watu, wanyama na viumbe hai.
-
Unaposoma jalida hili pia omba Mungu
akuepushe na zile tabia zinazowaathiri wengine.
No comments:
Post a Comment